Sumu Ya Penzi - Belle 9 Chords
Chords: Cm, Fm, Eb, Bb, Chorus, Bridge, Db
More chords by Belle 9
Genre: hip hop, r&b, afrobeats
Belle 9 - Sumu ya Penzi (Chords)
by J-Ryder790
Intro
Cm Fm Eb Bb
(also throughout the song)
Ohhh Ohhh, yeahh ehhh
yeahh
Verse 1
Cm Fm Eb Bb
Penzi ni kitu ambacho kinaweza kukupa furaha maishani mwako
Cm Fm Eb Bb
Vilevile penzi linaweza kukupa huzuni milele moyoni mwako
Cm Fm Eb Bb
Ukashindwa kuelewani na ndugu, rafiki hata na wazazi wako
Cm Fm Eb Bb
Utakosa raha ya maisha, hata kama una pesa
Cm Fm Eb Bb
Vitalala viungo vyako, kimawazo utakesha
Cm Fm Eb Bb
Utakosa raha ya maisha, hata kama una pesa
Cm Fm Eb Bb
Vitalala viungo vyako, kimawazo utakesha
Chorus
Cm Fm
Sumu ya penzi ukishailamba
Eb Bb
Hata kwa maziwa huwezi kupona
Cm Fm
Sumu ya penzi ukishailamba
Eb Bb
Hata kwa maziwa huwezi kupona
Cm Fm
Sio kwamba mi nakukataa
Eb Bb
Ila moyo wangu unasita (moyo unasita)
Cm Fm
Wazazi wangu watanishangaa
Eb Bb
Nyumbani wewe ulishatoroka (ulishatoroka)
Cm Fm
Sio kwamba mi nakukataa
Eb Bb
Ila moyo wangu unasita
Cm Fm
Wazazi wangu watanishangaa
Eb Bb
Nyumbani wewe ulishatoroka
Verse 2
Cm Fm Eb Bb
Ulinimwaga kama mchele, kuku wanidonoe (mimi)
Cm Fm Eb Bb
Ukanifunga mpaka kitanzi, nani aniokoe (porini)
Cm Fm Eb Bb
Ulinimwaga kama mchele, kuku wanidonoe (mimi)
Cm Fm Eb Bb
Ukanifunga mpaka kitanzi, nani aniokoe (porini)
Cm Fm
Laiti ningejua kuna dawa ya mapenzi
Eb Bb
Ningejifunga nisipende
Cm Fm
Maana mapenzi kwangu yamekuwa shubiri
ChordRoom - Free Guitar & Piano Chords